Tunatoa wigo mpana wa bidhaa za kifedha zilizoundwa kumsaidia Mwanachama kufikia malengo yake.
Wekeza Hisa na Samekaya SACCOS kukupa umiliki halali wa Uanachama wako.
Pata Maelezo ZaidiWeka Akiba na Amana mara kwa mara kujenga ustawi wako wa kifedha na Chama.
Pata Maelezo ZaidiSamekaya SACCOS tunatoa mikopo yenye riba na masharti nafuu kwa Wanachama.
Pata Maelezo ZaidiSamekaya SACCOS ni chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Kijamii chenye fungamano la Wanachama wafanyabiashara, wajasiliamali, waajiliwa waliopo jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Sifa za kuwa Mwanachama ni pamoja na: