Wasiliana nasi kwa simu, barua pepe au ujaze fomu hapa chini. Timu yetu itakujibu haraka iwezekanavyo.
S.L.P 271, Same Mjini – Kilimanjaro, Tanzania
Jaza taarifa zako, tutaweka kipaumbele kujibu haraka.
Majibu ya haraka kwa maswali yanayoulizwa na wanachama wetu.
Tunajibu kawaida ndani ya saa 24 za kazi. Kwa dharura, tafadhali piga simu moja kwa moja.
Jaza fomu ya uanachama (KYC), lete kitambulisho halali na ulipie ada ya usajili kulingana na sera. Unaweza kuanza mtandaoni au kutembelea ofisi yetu.
Hutegemea aina ya mkopo: historia ya uanachama, uwezo wa kurejesha, dhamana/wadhamini, na nyaraka husika. Wasiliana nasi kwa maelezo ya sasa ya sera.